Kutoka hukumu ya kifo mpaka mhitimu wa sheria
1,092,746 plays|
Peter Ouko |
TEDGlobal 2017
• August 2017
Peter Ouko alitumikia miaka 18 katika jela ya Kamiti, muda mwingine alikuwa akifungwa katika chumba cha jela na watu wazima 13 kwa masaa 23 na nusu kwa siku. Katika hotuba hii endelevu, anaelezea hadithi ya namna gani alivyokuwa huru -- na misheni ya mradi wa jela zilizopo Afrika: kuweka shule ya kwanza ya sheria iliyopo jela na kuhamasisha watu waliopo jela kuleta mabadiliko chanya.